Waziri Mkuu: Hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani
Dkt. Mwigulu: Tutaendelea kutekeleza miradi ya Maendeleo Singida
Dkt. Mwigulu aweka jiwe la msingi jengo la taaluma TIA Singida
Dkt. Mwigulu: Hatutafanya mzaha na anayetaka kuvuruga amani ya nchi
Dkt. Mwigulu: Viongozi chepeni kazi, msisubiri teuzi
Waziri Mkuu: Serikali yasamehe kodi kwa wafanyakazi wadogo wapya
Utekelezwaji wa mipango na mikakati ya kuimarisha haki na ustawi kwa watu wenye ulemavu wasisitizwa Mwanza.
Serikali yazitaka Taasisi zote kujiandaa kukabiliana na athari za el niño
Bidhaa bandia zinahatarisha maisha ya wananchi-Dkt. Mwigulu
Serikali yajipanga kukabiliana na athari za el niño
Rais wa Namibia Atembelea Kiwanja cha Ubalozi wa Namibia Mji wa Serikali Mtumba
Wito watolewa wananchi kutembelea banda la OWM maonesho ya wiki ya utumishi
Wakandarasi Watakiwa Kukamilisha Miradi Kwa Wakati Katika Mji Wa Serikali, Mtumba
OWM yathibitisha nyenzo muhimu za kuimarisha usimamizi wa maafa nchini
OWM yashiriki Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026
Waziri Mkuu: Mkataba wa fedha za Barabara ya Kitusha-Kinampanda-Kisana-Kisiriri umeshasainiwa
Waziri Mkuu aagiza tatizo la maji Mwanza lipatiwe ufumbuzi wa haraka
Mgongano wa maslahi watajwa kurudisha nyuma maendeleo
Serikali yasisitiza umuhimu wa uadilifu katika utumishi wa umma
Dkt. Mwigulu: Serikali inathamini mchango wa sekta binafsi katika kuinua ubora wa elimu nchini.