Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi kadi ya CCM, Mbunge wa Viti Maalum (CUF), Mercy Emmanuel ambaye Julai 16, 2010 alitangaza rasmi kukikahma chama hicho na kujiunga na CC M kwemye mkutano wa wabunge wa CCM na Rais Kikwete uliofanyika kwenye ukumbi wa MSekwa Bungeni Mjini Dodoma Julai 16, 2010
Waziri Mkuu awaasa vijana wasomi wasikubali kujtumiwa ovyo kwenye kampeni
Dodoma, 25 June 2010
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaasa vijana wa vyuo vikuu nchini wasikubali kutumiwa hovyo ili kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa kampeni za uchaguzi nchi nzima na badala yake waisadie Serikali kulinda utamaduni na maadili mema ya Watanzania.
read more
Pinda: Michezo irejeshwe shule zote na vyuo siyo sekondari tu
Pwani, 20 June 2010
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema uamuzi wa kurejesha michezo mashuleni siyo kwa shule za Sekondari tu bali kuanzia za msingi hadi Vyuo vya Elimu ya Juu.
read more
Other news
Ofisi ya Waziri Mkuu imezindua baraza jipya la wafanyakazi katika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya waziri Mkuu jijini Dar es Saalam tarehe 31 Mei, 2010.
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb) Waziri Mkuu Wakati wa Kufungua Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu vya Dodoma katika Ukumbi wa African Dreams – Dodoma, tarehe 25 Juni 2010...
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb.), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kufungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) Kibaha tarehe 20 Juni 2010...
kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Burundi , Dr. Yves Sahinguvu, kabla ya mazungumzo yao katika Kikao cha Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika, Caribbean na Pasifiki (ACP) jijini Accra, October 2, 2008.