Address by Honourable Mizengo P. Pinda (MP) Prime Minister of the United Republic of Tanzania, at the 33rd Session of IFAD, Rome, Italy, 17th February 2010
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb), Waziri Mkuu wakati wa Kuahirisha Mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 12 Februari 2010, Dodoma
…kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond, Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mtaifa, Ban Ki-Moon (katikati) akihutubia katika
Mkutano Mkuu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (ITU) jijini Geneva Oktoba 6,
2009. Kulia ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na kushoto ni Katibu Mkuu wa ITU, Dr,
Hamadoun Toure
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi nchini, UNHCR,, Mhe. Olyseyi Bajulaiye kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 2, 2010. (Picha na Oisi ya Waziri Mkuu)
4138 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi nchini, UNHCR,, Mhe. Olyseyi Bajulaiye, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 2, 2010.
'Sekta binafsi zihusishwe zaidi kukuza biashara ya Tanzania na Msumbiji'
Dar es Salaam, 7 March 2010
TANZANIA na Msumbiji zimekubaliana kuendeleza biashara baina ya nchi hizo jirani kwa kusisitiza kuwa Sekta Binafsi ihusishwe zaidi.
Hayo yamo katika... Read more
Waziri Mkuu kwenda Abuja kesho kumwakilisha Rais Kikwete
Dar es Salaam, 7 March 2010
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda anatarajiwa kuondoka nchini kesho (Jumatatu, Machi 08, 2010) kwenda Abuja, Nigeria kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi unaojadili... Read more
More News
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema uharibifu wa mazingira unaoendelea hivi sasa unasababishwa na kazi za uzalishaji zinazotokana na maendeleo ya viwanda duniani kote.
Amesisitiza... Read more
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amerejea Dar es Salaam leo mchana (Alhamisi Oktoba 8, 2009) kutoka Geneva ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye Mkutano Mkuu wa Shirika... Read more
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amehudhuria ufunguzi rasmi wa mkutano mkuu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (International Telecommunication Union – ITU) mjini Geneva ambako... Read more