Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA WAZIRI MKUU

Habari

Dkt. Biteko akifurahia mandhari wakati akisafiri kwa treni ya umeme


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akionekana kufurahia mandhari ya nje wakati akisafiri kwa treni ya umeme ya mwendo kasi (SGR) kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam Januari 14, 2025.