Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA WAZIRI MKUU

Habari

Dkt. Biteko azungumza na Waziri Lukuvi Bungeni


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi, katika Mkutano wa 17 wa Bunge, Kikao cha Kwanza jijini Dodoma Oktoba 29, 2024