Habari
Dkt. Biteko ahani msiba wa Mzee Mganga Ngeleja
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ahani msiba wa baba mzazi wa William Ngeleja, Mzee Mganga Ngeleja aliyefariki Julai, 16, 2025 na kuzikwa jana (Julai 21, 2025) Kijijini kwake Bitoto, wilayani Sengerema, mkoani Mwanza.