Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA WAZIRI MKUU

Habari

Dkt. Biteko ashiriki ibada ya mazishi


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameshiriki ibada ya mazishi ya Modesta Joseph Kulwa ambae ni Mama mzazi wa Padre Julius Msobi Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Ushirombo Jimbo Katoliki la Kahama. Ibada hiyo imefanyika  Desemba 30,  2024 Ushirombo wilayani Bukombe Mkoa wa Geita