Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA WAZIRI MKUU

Habari

Dkt. Biteko akifuatilia michango ya wabunge


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akifuatilia michango ya Waheshimiwa Wabunge kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/2026 aliyoiwasilisha katika mkutano wa kumi na tisa wa Bunge, kikao cha kumi na tatu Aprili 29, 2025 Jijini Dodoma.