Habari
Dkt. Biteko afanya mazungumzo na Balozi wa Japan
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Januari 7, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yasushi Misawa.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Januari 7, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yasushi Misawa.