Wasifu
Mh. Mizengo Peter Pinda
Waziri Mkuu MstaafuWaziri Mkuu wa Kumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa . Aliteuliwa tarehe 7 Februari, 2008 na kuthibitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia tarehe 9 Februari, 2008 hadi tarehe 5 Novemba 2015. Akifuatiwa na Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa