Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kikagua ujenzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia
cha Nelson Mandela kilichopo Arusha wakati alipokitembela Januari 22, 2012.
Serikali yasitisha Vyuo vya ufundi kugeuzwa Vyuo Vikuu - Pinda
Arusha, 21 January 2012
SERIKALI imesitisha utaratibu wa kuvibadili Vyuo vya Ufundi kuwa Vyuo Vikuu ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa mafundi sanifu na uhaba wa vyuo vinavyotoa mafunzo ya ufundi sanifu katika nyanja ya uhandisi na teknolojia. read more
Regia Mtema ni nyota inayong'aa - Makinda
Dar es Salaam, 17 January 2012
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anne Makinda amesema aliyekuwa Mbunge wa Viti wa Maalum mkoa wa Morogoro (CHADEMA) Bi. Regia Mtema ni nyota inayong’aa kwani ameweza kuwaunganisha Watanzania wote bila kujali tofauti za kiitikadi zilizopo katika jamii. read more
Other news
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (Mb) amewataka wahitimu wa vyuo vikuu katika fani mbalimbali hapa nchini kutumia elimu na utaalamu... Read more
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (Mb) amewataka wananchi kujiunga katika ushirika wa kuweka na kukopa ili waweze kuongeza uwezo... Read more
Serikali imeyataka makundi mbalimbali katika jamii kuanza mchakato wa kupata maoni juu ya mapendekezo ya katiba mpya ili kuvisaidia vyombo vitavyopewa dhamana ya kukusanya... Read more
Hotuba ya Mhe. Mizengo P. Pinda (Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kwenye Mahafali ya Tatu ya Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), tarehe 21 Januari, 2012...
Hotuba ya Mhe. Mizengo P. Pinda (Mb), Waziri Mkuu wa Tanzania akifunga Maonesho ya Kuadhimisha Miaka 50 ya Uhuru katika Uwanja wa Mwalimu J. K. Nyerere, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam, tarehe 12 Desemba, 2011...
kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa
Mataifa , Asha Rose Migiro kwenye hoteli ya Intercontinental ya Geneva ambako
walihudhuria Mkutano kuhusu mawasiliano uliandaliwa na Shieika la Kimataifa la
Mawasiliano ITU. Oktoba 7, 2009