Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiapata maelezo kuhusu utafiti wa Mbegu za ngano kutoka kwa mtalaam wa zao hilo, Rose Mongi wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa wa kilimo Uyole Mbeya may 10, 1012.
Tume huru ya Umwagiliaji Maji kuundwa - Pinda
Dar es Salaam, 5 April 2012
SERIKALI inakamilisha uanzishwaji wa Tume ya Kilimo cha Umwagiliaji ya Taifa itakayoweza kufanya maamuzi bila ya kuingiliwa moja kwa moja ili kusimamia kwa ukamilifu shughuli za kilimo hicho nchini. read more
CRDB yatoa mabilioni kusaidia ununuzi wa mazao
Dar es Salaam, 4 April 2012
BENKI ya CRDB imetoa mikopo ya kununulia mazao yenye jumla ya sh. bilioni 690.5 mwaka jana ikiwa ni sehemu ya jitihada za Benki hiyo kusaidia sekta ya kilimo nchini, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei ametangaza. read more
Other news
Serikali imeyataka makundi mbalimbali katika jamii kuanza mchakato wa kupata maoni juu ya mapendekezo ya katiba mpya ili kuvisaidia vyombo vitavyopewa dhamana ya kukusanya... Read more
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (Mb) amewataka wahitimu wa vyuo vikuu katika fani mbalimbali hapa nchini kutumia elimu na utaalamu... Read more
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (Mb) amewataka wananchi kujiunga katika ushirika wa kuweka na kukopa ili waweze kuongeza uwezo... Read more
Hotuba ya Mhe. Mizengo P. Pinda (Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wakati wa Kuahirisha Mkutano wa Saba wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dodoma, tarehe 23 Aprili 2012...
Speech By Hon. Mizengo P. Pinda (MP), Prime Minister of the United Republic of Tanzania during the Signing Ceremony of Memorandum of Understanding between the Ministry of Agriculture, Food Security and Co-Operatives and Jain Irrigation System Ltd of India, Prime Minister’s Office, Dar es Salaam 5th April 2012...
kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na ujumbe wake wakishiriki katika mazungumzo rasmi
na Waziri Mkuu wa Namibia na ujumbe wake kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu huyo nchini
Namibia October 6, 2008. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa, Celina Kombani na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Waziri wa kilimo, Mifugo na
mazingira wa Zanzibar, Burhan Saadat haji.