Remarks by Honourable Mizengo P. Pinda (MP), Prime Minister of The United Republic of Tanzania, during the First Annual Art Camp at Kilimanjaro Hotel Kempinski, 05 February 2010.
Speech by Honourable Mizengo P. Pinda (MP), Prime Minister of The United Republic of Tanzania, at the official opening of the Second East and Central African Social Security Association (ECASSA) Policy Makers’ Workshop on 29th January 2010, at Nyumbani Hotels & Resort In Mwanza
“Mvaa kiatu ndiye anayejua wapi kinambana. Sisi ndiyo tunaovaa kiatu cha kuendeleza nchi hii … tunajua wapi bado na wapi tayari. Kila mmoja kwa eneo lake aseme wapi bado na nini kifanyike na kifanyike vipi, semeni kwa ufasaha tukosoane tujenge nchi yetu…”
Ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa TPSF,
Kunduchi Beach, Dar es Salaam,
16 Machi, 2009
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Momose Cheyo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Februari 9, 2001.
CCM ikatae watu wanaotumia pesa kusaka uongozi - Pinda
Dodoma, 7 February 2010
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema ni lazima Chama cha Mapinduzi (CCM) kiwakatae watu wanaotumia fedha kutafuta nafasi za uongozi kwani viongozi wa aina... Read more
Waomba Mpwapwa TTC kiwe Chuo kishiriki cha UDOM
Dodoma, 7 February 2010
UONGOZI wa mkoa wa Dodoma umeiomba Serikali iangalie uwezekano wa kukipandisha hadhi Chuo cha Ualimu cha Mpwapwa ili kiwe Chuo Kishiriki cha Chuo Kikuu... Read more
More News
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema uharibifu wa mazingira unaoendelea hivi sasa unasababishwa na kazi za uzalishaji zinazotokana na maendeleo ya viwanda duniani kote.
Amesisitiza... Read more
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amerejea Dar es Salaam leo mchana (Alhamisi Oktoba 8, 2009) kutoka Geneva ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye Mkutano Mkuu wa Shirika... Read more
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amehudhuria ufunguzi rasmi wa mkutano mkuu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (International Telecommunication Union – ITU) mjini Geneva ambako... Read more