buyinsurances.net homedecorationstips.com weightlosshelps.org auto-reviews.net products-reviews.org healthylive.org business-money.org businesspay.net buy-jewellery.net carpricesin.com cosmeticsproduct.org dietsinfo.org homehelps.net finance-loans.org insurancetypes.org tech-new.org autoinsurancenet.org moneyus.org personaloans.org cosmeticstoday.net fitnesses.org homeimprovementsus.net insurancecompaniesin.com marketfinancenews.com medical-product.org technologyin.org hostgator-coupons.info financetime.net hometricks.net weightlosshelps.org roofrepairing.org
Prime Minister's Office
Logo
Developed by JoomVision.com

Washiriki wa mkutano wa siku 2 unaojadili namna ya kukabiliana na majanga mbalimbali na athari za Virusi vya mafua ya ndege wakiwa katika picha ya pamoja tarehe 15 Mei, 2013, Dar es salaam.

Kaimu Katibu Mkuu kiongozi ambaye pia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Peniel Lyimo akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) Ikulu tarehe 9 Mei, 2013, juu ya uzinduzi wa Kampeni ya Taifa ya kuongeza uwajibikaji katika kuboresha hali ya lishe nchini tarehe 16 Mei 2013, katika viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 17, 2013.Katikati ni Mbunge wa Viti Maalum Bahati Ali Abeid.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wanachuo wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere kwene ukumbi wa Spika mjini Dodoma Aprili 17,2013

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge wa Viti Maalum kwenye jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma Aprili 17, 2013. Kutoka kushoto ni Frlister Bura, Leticia Nyerere na Christowaja Mtinda.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa semina ya wabunge kuhusu masuala ya Albino baada ya kuifngua kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni Mjini Dodoma, Aprili13, 2013. Kuliani Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr.Seif Rashid.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola kwenye viwanja vya Buge Mjini Dodoma Aprili 12, 2013.

Waziri Mkuu, Mizego Pinda akiteta na wabunge Kangi Lugola wa Mwibara (wapili kulia) na Leticia Nyerere wa Viti Maalum (kushoto) na Agustino Masele wa Mbogwe (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 12, 2013.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Mbunge wa Iramba magharibi,Mwigulu Lameck Nchemba kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma Aprili 9, 2013.

Prime Minister's profile
PM in the Parliament

- Current Prime Minister

- Current Leadership

-Budget Speech

-Tanzanians in Diaspora

.
.
PM activities: National
PM activities: Abroad Staff Mails
RELATED LINKS

MINISTERS IN PRIME MINISTER'S OFFICE

1. Parliament of Tanzania

2. National Website

3. National Electoral Commision

.................................................................
Hon.Hawa Abdulrahman Ghasia (MP) Minister for State (regional Administration and local government) Hon. William Vangimembe Lukuvi (MP). The Minister for State (Policy and Coordination)
Hon. Dr.Mary Michael Nagu(MP) Minister for State (Investment and Empowerment)

Copyrights ©2008-2012, The United Republic of Tanzania, Prime Minister's office All Rights Reserved