Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA WAZIRI MKUU

Habari

Idara ya Menejimenti ya Maafa yashiriki maonesho ya Sabasaba


Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) imeshiriki katika maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara maarufu Sabasaba yanayoendelea ndani ya viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam Julai, 2023.