Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb) Waziri Mkuu Wakati wa Kufungua Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu vya Dodoma katika Ukumbi wa African Dreams – Dodoma, tarehe 25 Juni 2010...
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb.), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kufungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) Kibaha tarehe 20 Juni 2010...
kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akiwa na marais, Mwai Kibaki wa Kenya
(wapili kushoto) na Yoweri Museveni wa Uganda ktika sherhe za kuapisha baraza jipya
la mawaziri la Kenya kwenye viwanja vya ikulu ya Nairobi April 17,2008. Wengine ni
Makamu wa Rais wa Kenya Kalonzo Musokya (watatu kulia) na Waziri Mkuu wa Kenya,
Raila Odinga.