Opening remarks by Rt. Hon. Mizengo P. Pinda (MP), The Prime Minister of the United Republic of Tanzania on the African Green Revolution Forum – Accra, Ghana, 2nd September, 2010...
Hotuba ya Shukrani kwa Wabunge kabla ya Mkutano wa Ishirini wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Kuvunjwa na Mheshimiwa Rais, Ukumbi wa Bunge, Dodoma, 15 Julai 2010...
kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama mazao yanayozalishwa kitalaamu wakati alipotembelea banda la Halmashauri ya wilaya ya Bukombe mkoa wa Shinyanga kabla ya kuhutubia katika maadhimisho ya siku ya Idadi ya watu Duniani yaliyofanyika kwenye viwanja wa Shycom mjini Shinyanga Julai 11, 2009. Kushoto ni Mkurungenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe, Theonest Kishenyi na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Shinyanga, Hamisi Mgeja.