Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb) Waziri Mkuu Wakati wa Kufungua Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu vya Dodoma katika Ukumbi wa African Dreams – Dodoma, tarehe 25 Juni 2010...
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb.), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kufungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) Kibaha tarehe 20 Juni 2010...
kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Rais Jakaya Kikwete akimwapisha, Mheshimiwa Mizengo Pinda kuwa Waziri Mkuu kwenye Ikulu ya Chamwino, Dodoma, Februari 9, 2008. Wa pili kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo.