Home | Ask the Prime Minister
Ask the Prime Minister
Speeches

Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb) Waziri Mkuu Wakati wa Kufungua Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu vya Dodoma katika Ukumbi wa African Dreams – Dodoma, tarehe 25 Juni 2010...

Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb.), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Kufungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) Kibaha tarehe 20 Juni 2010...

More Speeches
Recently Documents

kk Quotes

kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.

Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond,
Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
More Quotes
Videos
Photo Gallery

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu John Malecela kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kabla yakuondoka nchini kwenda Jamuhuri ya Korea kwa ziara ya kikazi Septemba 4, 2008. Kulia ni Balozi wa Jamuhuri ya Korea nchini, Young-jin Kim.
More Photos
Documents and Publications


mgPrint friendly version mg Email this page
Welcome to webpage which allows you to send question to the Prime Ministers The question will be answered directly to the one asking using contact given preferably email address the questions that are repeated ask for several different people will profile in this page for preference.

November 4 2007
Wambura Chacha
from Serengeti, Mara ask;

Mheshemiwa waziri mkuu naomba kuuliza wilaya ya serengeti ina kilomita za mraba elfu kumi na mia tatu lakini ina vituo viwili vya afya je serikalai ina mpango gani wa kutuongezea vituo vya afya ili kuondo kero ya wananchi kutembea umbali mrefu kupata matibabu?

Prime Minister;

Ni kweli Wilaya ya Serengeti ina kilometa za mraba 10,300 na ni kweli ina vituo vya afya viwili tu. Serikali ina mpango wa kujenga vituo vya afya katika kila kata na zahanati kwa kila kijiji. Kwahiyo mpango huu kwa kuwa utakuwa umeendeshwa Tanzania nzima kuanzia mwaka wa 2008/2009 na Serengeti ni mojawapo, kwahiyo huo ni mpango kabambe wa Serikali ili kuhakikisha kwamba huduma za afya zinatolewa katika kila kijiji na katika kila kata.

October 10 2007

Rashid Mhando from Dodoma, Dodoma ask;

Mhe. WAziri Mkuu, Je, Serikali ina mpango gani wa kurekebisha hali ya mazingira katika stendi ya mabasi ya abiria Dodoma ?

Prime Minister;

Stendi ya Mabasi ya Dodoma, haikidhi haja kwa abiria kwani stendi hiyo ni ya muda siyo ya kudumu kwa maana ya kwamba itahamishwa. Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma imeweka mikakati ya matengenezo ya Barabara zilizomo ndani ya eneo la stendi ikiwa ni pamoja na kuimarisha huduma za ulinzi na usafi. Kwa mwaka wa fedha 2007/2008 jumla ya shilingi 14,000,000 zimetengwa kwa ajili hiyo na matengenezo ya barabara hizo na yataanza mwezi Desemba, 2007.

>> More Questions and Answers

 
(E-mail)
(Datetime dd/mm/yyyy h:mm:ss t)
 
Type the characters you see in the picture below.

 

 

Help | Disclaimer | Privacy | Site Feedback
Copyrights ©2008-2010, The United Republic of Tanzania, Prime Minister All Rights Reserved
Designed and published by DataVision International (T) Ltd