Address by Honourable Mizengo P. Pinda (MP) Prime Minister of the United Republic of Tanzania, at the 33rd Session of IFAD, Rome, Italy, 17th February 2010
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb), Waziri Mkuu wakati wa Kuahirisha Mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 12 Februari 2010, Dodoma
…kama Bunge, lakini mmoja mmoja kama watumishi wa umma, tunao wajibu mkubwa sana wa kuishi na kutenda kwa mfano. Tujiepushe na tamaa zinazoweza kuliingizia Taifa hili hasara kubwa.
Kauli ya Waziri Mkuu kuhitimisha mjadala wa Richmond, Mkutano wa 18 wa Bunge, Februari 10, 2010
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akiwa na marais, Mwai Kibaki wa Kenya
(wapili kushoto) na Yoweri Museveni wa Uganda ktika sherhe za kuapisha baraza jipya
la mawaziri la Kenya kwenye viwanja vya ikulu ya Nairobi April 17,2008. Wengine ni
Makamu wa Rais wa Kenya Kalonzo Musokya (watatu kulia) na Waziri Mkuu wa Kenya,
Raila Odinga.