|
| Latest News |
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Rais wa Ghana Hogn Atta
Mills kwenye ikul ya Accra Septemba 2, 2010.Mheshimiwa Pinda yuko nhini humo
kumwakilisha Rais Jakya Kikwete katika Mkutano wa kujadili mapinduzi ya kijani
barani Afrika .
|
|
| Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Kikwete Burundi |
| Dar es Salaam, 24 August 2010 |
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda anatarajiwa kuondoka nchini kesho (Jumatano, Agosti 25, 2010) kwenda Bujumbura, Burundi kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa nchi hiyo, Bw. Pierre Nkurunziza.
Waziri Mkuu Pinda atahudhuria sherehe hizo akimwakilisha Rais Jakaya Kikwete ambaye yuko Kanda ya Ziwa kwenye ziara za kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM).
read more |
| Waziri Mkuu awaasa vijana wasomi wasikubali kutumiwa hovyo kwenye kampeni |
| Dodoma, 25 June 2010 |
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaasa vijana wa vyuo vikuu nchini wasikubali kutumiwa hovyo ili kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa kampeni za uchaguzi nchi nzima na badala yake waisadie Serikali kulinda utamaduni na maadili mema ya Watanzania.
read more |
|
| Other news |
 |
Ofisi ya Waziri Mkuu imeibuka mshindi wa pili katika maonesho ya Nane Nane miongoni mwa Wizara zinazotoa huduma za kijamii zilizoshiriki katika maonesho ya Nane Nane 2010.Maadhimisho... Read more |
 |
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Peniel Lyimo amesema Ukanda wa Kilimo wa Nyanda za Juu Kusini Tanzania (SAGCOT) utaendeleza kilimo kuwa cha tija katika mikoa... Read more |
 |
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mh: Philipo Marmo amezitaka sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kukuza uchumi wa nchi , amesema hayo wakati... Read more |
|
| Headlines |
More news |
|
|